KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

Thursday, October 18, 2012

SALAAM ZA MAASKOFU WA KKKT KWA WATANZANIA WOTE KUHUSIANA NA MATUKIO YA KUCHOMA MOTO MAKANISA YA KIKRISTO ENEO LA MBAGALA – DSM.

SALAAM ZA MAASKOFU WA KKKT KWA WATANZANIA WOTE KUHUSIANA NA MATUKIO YA KUCHOMA MOTO MAKANISA YA KIKRISTO ENEO LA MBAGALA – DSM. Wapendwa Katika Bwana, Waumini wa KKKT, Wakristo Wote na Watanzania kwa Ujumla. Neema na Iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba na Bwana wetu Yesu Kristo, Amina. Sisi maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), tumepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa za matukio ya uchomaji wa makanisa...

Tuesday, October 9, 2012

SINTAH VS RAYUU,SINTA AMCHANA RAYUU KWA KUTAFUTA UMAARUFU KWA KUACHIA PICHA ZAKE ZA UTUPU

Baada ya muigizaji wa filamu na video model maarufu kwa jina la Rayuu kusambaza picha mtandaoni zikionesha tattoo alizojichora kwenye maeneo mbalimbali ya mwili wake kama kiunoni, shingoni, kwenye maziwa, makalio na mapaja, watu mbalimbali wamejitokeza na kumponda. Miongoni mwao ni mtangazaji wa kipindi cha Harusini cha DTV, Sinta aliyeamua kuitumia website yake kumpa somo mugizaji huyi aliyeigiza filamu kama The Image, Trinita Show,...

EXCLUSIVE INTERVIEW YA CLOUDS FM/ TV CHOICE FM NA RICK ROSS DSM PAMOJA NA ALIYOYASEMA.

Kupitia AMPLIFAYA ya Clouds Fm inayokua OnAiR kuanzia jumatatu mpaka ijumaa saa moja usiku, jana October 8 2012 ilisikika sehemu ya Exclusive Interview ya rapper Rick Ross kutoka kwa Obama ambae aliperform kwenye Serengeti Fiesta 2012. Japo alisafiri safari ndefu ya masaa 25 alikua hajui atakuja kukutana na nini ila alikua na kumbukumbu tu za utotoni kuhusu Tanzania,  Mfano mlima Kilimanjaro na mengine ila ameenjoy na atarudi...