KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

Tuesday, July 31, 2012

ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2012/2013

 WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA  MWAKA WA MASOMO  2012/2013 MAELEKEZO MUHIMU Waombaji waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Stashahada katika mwaka wa masomo 2012/13 wanatakiwa kuripoti katika vyuo walivyopangiwa tarehe 12/08/2012.  Kwa wale watakaochelewa kupata barua za maelekezo (Joining instruction) kutoka vyuoni wanatakiwa waripoti vyuoni katika tarehe iliyopangwa bila kukosa. Wanafunzi wanatakiwa kufika vyuoni wakiwa...

Wednesday, July 25, 2012

WAZIRI WA UCHUKUZI DR. HARRISON MWAKYEMBE AZINDUA HUDUMA MPYA ZA SHIRIKA LA NDEGE LA QATAR KUTOKA KIA.

Picha ya pamoja mara baada ya Shirika la ndege la serikali ya Qatar (Qatar airways) leo kuzindua  huduma ya safari zake za anga kutoka Kilimanjaro kuelekea sehemu mbalimbali za dunia kila siku na kufanya huduma za safari za anga kufikia zaidi miji 118. Mgeni rasmi katika uzinduzi huo,waziri wa mawasiliano na uchukuzi Dr. Harrison Mwakyembe akimkabidhi Mkurugenzi mtendaji wa masoko...

NIGERIA U20 YAWASILI KUIKABILI NGORONGORO HEROES.

  Kikosi cha timu ya Taifa ya Vijana U20 ya Nigeria (Flying Eagles). Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 ya Nigeria (Flying Eagles) inatarajia kuwasili nchini leo (Julai 25 mwaka huu) saa 10 jioni kwa ndege ya RwandAir ikiwa na msafara wa watu 30 wakiwemo wachezaji 18. Flying Eagles itapambana na Ngorongoro Heroes katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili itakayofanyika Jumapili (Julai 29 mwaka huu)...

SAJUKI APATA GONJWA BAYA LAMSHAMBULIA UTI WA MGONGO

  Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’.   Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa na mkewe Wastara. PAMOJA na kwamba afya ya staa wa filamu Bongo, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ inaendelea vizuri, imegundulika kuwa ana ugonjwa mwingine tofauti na ule uliompeleka India kufanyiwa upasuaji, Hivi karibuni, Sajuki alirejea kutoka nchini India alipokwenda kwa ajili ya matibabu ambapo alionekana kuwa na mabadiliko makubwa kiafya jambo lililowapa...

Saturday, July 7, 2012

WEMA SEPETU, JACQUELINE WOLPER HAKUNA MBABE

 Wema akijifua.  Wolper. Wasanii mahiri wa Filamu, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wakijifua kabla ya mpambano wao leo.  Mwamuzi akiamua mpambano uanze.  Wolper na Wema wakionyeshana ubabe. Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla. Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika Uwanja wa Taifa...

SIMBA WAIKANDAMIZA YANGA KWA PENALTI 3-2

 Simba wakiingia uwanjani kupasha misuli.    Yanga wakijichua kwa ajili ya mtanange na watani wao wa jadi Simba. Mechi ya watani wa jadi  Wachezaji wa Yanga na Simba (Wabunge) wakiimba wimbo wa Taifa kabla ya mechi kuanza. Zitto Kabwe akitoa pa...

BONGO MOVIE WAICHACHAFYA BONGO FLEVA 1 - 0

 Benny Kinyaiya na JB wakishangilia. Wachezaji wa Bongo Movie na mashabiki wake wakishangilia bao lao lililofungwa na Kidu...

TANZANIA NA MSIMAMO WAKE JUU YA NDOA ZA JINSI MOJA

Tanzania stands firm on aid-gay rights spat with UK By Fumbuka Ng'wanakilala | Reuters – Fri, Nov 4, 2011 DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania has become the latest African government to say it will not legalise homosexuality even if that means it loses substantial financial aid from Britain. Government officials reacted strongly to Prime Minister David Cameron's threat to cut aid to countries that deny gay rights. "Tanzania will never...

Friday, July 6, 2012

SASA UNAWEZA KUTOA MAONI YAKO KUHUSU KATIBA KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK WA TUME.

  Sasa tunaweza kuwasilisha maoni kuhusu Katiba Mpya, kupitia Facebook (bofya hapa), kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa akaunti ya iliyoanzishwa kwa jina  Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania https://www.facebook.com/pages/Tume-ya-Mabadiliko-ya-Katiba-Tanzania/323414977745...