Friday, July 6, 2012

SASA UNAWEZA KUTOA MAONI YAKO KUHUSU KATIBA KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK WA TUME.

 
Sasa tunaweza kuwasilisha maoni kuhusu Katiba Mpya, kupitia Facebook (bofya hapa), kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa akaunti ya iliyoanzishwa kwa jina  Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania https://www.facebook.com/pages/Tume-ya-Mabadiliko-ya-Katiba-Tanzania/323414977745643

0 Maoni:

Post a Comment