KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

KWA MAELEZO ZAIDI

TANGAZA HAPA NA PATA HABARI ZA MICHEZO, KITAIFA NA KIMATAIFA HAPA VIJANA KWANZA BLOG. WASILIANA NASI: PHONE: +255 764 251 064

Saturday, July 7, 2012

BONGO MOVIE WAICHACHAFYA BONGO FLEVA 1 - 0

 Benny Kinyaiya na JB wakishangilia.


Wachezaji wa Bongo Movie na mashabiki wake wakishangilia bao lao lililofungwa na Kiduko.

TANZANIA NA MSIMAMO WAKE JUU YA NDOA ZA JINSI MOJA



Tanzania stands firm on aid-gay rights spat with UK
By Fumbuka Ng'wanakilala | Reuters – Fri, Nov 4, 2011

DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzania has become the latest African government to say it will not legalise homosexuality even if that means it loses substantial financial aid from Britain.
Government officials reacted strongly to Prime Minister David Cameron's threat to cut aid to countries that deny gay rights.

"Tanzania will never accept Cameron's proposal because we have our own moral values. Homosexuality is not part of our culture and we will never legalise it," foreign affairs minister Bernard Membe was quoted as saying by Tanzania's Guardian newspaper.

"We are not ready to allow any rich nation to give us aid based on unacceptable conditions simply because we are poor. If we are denied aid by one country, it will not affect the economic status of this nation and we can do without UK aid."

Tanzania, a former British colony and one of Africa's biggest per capita aid recipients, received $453 million (282 million pounds) of aid for its 2011/12 budget, with Britain the largest provider of general budget support.


Ghana's President John Atta Mills said Wednesday his government would never legalise homosexuality. Uganda has also reacted strongly to Cameron's comments.

The Department for International Development (DFID) gave Tanzania 144 million pounds in aid in 2009/10 and has pledged to spend an average of 161 million pounds per year in Tanzania until 2015.

Homosexuality is a serious criminal offence in Tanzania, punishable by imprisonment, but no one has been prosecuted.

"We cannot be directed by the United Kingdom to do things that are against our set laws, culture and regulations," Membe was quoted as saying.

Zanzibar President Ali Mohamed Shein also rejected the British demands for gay rights to be respected in Tanzania.

"We have strong Islamic and Zanzibari culture that abhors gay and lesbian activities, and to anyone who tells us that development support is linked to accepting this we are saying no," Shein told journalists Thursday.
Zanzibar, Tanzania's semi-autonomous archipelago, enacted a law in 2004 banning homosexual relations. Male offenders face more jail time, up to 25 years, than convicted women.

Homosexuality is illegal in 37 African countries, and rights groups say gays are often the targets of violent hate campaigns.

Friday, July 6, 2012

SASA UNAWEZA KUTOA MAONI YAKO KUHUSU KATIBA KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK WA TUME.

 
Sasa tunaweza kuwasilisha maoni kuhusu Katiba Mpya, kupitia Facebook (bofya hapa), kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa akaunti ya iliyoanzishwa kwa jina  Tume ya Mabadiliko ya Katiba Tanzania https://www.facebook.com/pages/Tume-ya-Mabadiliko-ya-Katiba-Tanzania/323414977745643

Tuesday, June 12, 2012

MAHAKAMA YASOGEZA KESI YA LULU HADI TAREHE 25 JUNI, 2012.

Lulu’ akishuka katika basi la magereza.
‘Lulu’ akiwa ndani ya mahakama.
‘Lulu akiteta jambo na wakili wake muda mfupi baada ya kufika mahakamani.
Akitoka mahakamani baada ya kesi yake kusogezwa hadi tarehe 25 mwezi huu, ambapo watetezi wa ‘Lulu’ wametakiwa kuwasilisha vielelezo vyenye uthibitisho wa umri wake ifikapo tarehe 13 mwezi huu, wakati upande wa serikali wameomba kuwasilisha vielelezo vyao tarehe 22 mwezi huu ili kumaliza tatizo la utata kuhusu umri wa mtuhumiwa huyo.
Ulinzi ulikuwa ni wa uhakika eneo lote nda na nje ya mahakama kuu wakati wa kesi hiyo.
HABARI TOKA http://dewjiblog.com

Monday, June 4, 2012

Habari kwa kiswahili: FBI kuzima kompyuta 350,000 zilizoambukizwa na virusi.

Mmoja kati ya watengeneza virusi aliyewekwa chini ya ulinzi na watu wa usalama FBI kutokana uhalifu wake. Hivi sasa FBI iko katika maandalizi ya kuzima kompyuta 350,000 duniani kote kutokana kuambukizwa na kirusi aina ya Trojan aliyetengenezwa na kundi la Kiestoni ambalo ni la wahalifu. Pia FBI wamefanikiwa kukamata kifaa aina DNS changer ambacho hutumika kutengenezea Vurusi hao. Walinzi wa kimarekani ambao wanashughulika na uhalifu huo wanafahamu kompyuta na Macs zote zilizoambukizwa na hicho kirusi aina ya Trojan , hivyo basi hitimisho la wamiliki endapo watachukua hatua ya kutatua tatizo, njia ni moja ya kuviondoa vifaa hivyo katika mtandao (Internet). Kifaa hicho cha kutengeneza virusi DNS changer, kilitengeneza na kuachia virusi hao kwa mara ya kwanza mnamo mwaka 2007. Kiliweza kuhasiri watumiaji, kwani kompyuta ilitenda kazi kinyume na inavyoweza. Na tatizo kubwa kwa watumiaji ilikuwa kompyuta kufanya kazi kwa taratibu sana katika mtandao. Pia virusi hivyo viliweza kulemaza antivirus programu na maelekezo ya kompyuta kuwa ya udanganyifu. Virusi hivyo viliachiwa na kundi la wahalifu wa Kiestoni na kuaminika kuwa, idadi ya virusi vilivyoachiwa katika mtandao ni dola milioni 16. Baada ya kashfa hiyo kugundulika, FBI walizima kifaa hicho kilichotumiwa na wahalifu cha kutoa mawasiliano ya mtandao (server) na mmoja wao kuchua nafasi hiyo, lakini Bureau alitaka kifaa hicho (server) kizimwe kabisa kwa sababu kinagharamia makumi ya maelfu ya dola kukiendesha. Bureau iliweka kifaa maalumu cha kutoa mawasiliano ya mtandao (Server) kwa maombi ya DNS kutoka kwa kompyuta zilizoambukizwa, kwani bila kifaa hicho (server) kompyuta hizo zilizoambukizwa zisingeweza kuunganishwa na mtandao. Jinsi ya kuunganishwa na mtandao Amri ya mahakama iliruhusu kifaa cha kotoa mawasiliano ya mtandao (Sever) cha FBI kupitisha anwani ya IP ya wale walioambukizwa na muda wake kumalizika Julai 9, wakati kompyuta hizo zitakapokuwa zimeondolewa katika mtandao (offline). hatua hiyo, kompyuta zote zilizoambukizwa na virusi aina ta Trojan hazitaweza kuunganishwa katika mtandao. Kuepukana na kompyuta yako kuzimwa na mtandao wa kuhakiki kompyuta zilizoambukiza "DNS ya FBI. ambao unaruhusu kwa sasa watumiaji kuangalia kama wana virusi na kuviondoa mapema. Kwani inasemekana kuwa tayari kuna baadhi ya kompyuta 150,000 zimesafishwa virusi hao. Lakini baadhi ya wakosoaji wanaonya hii, kuwa haitoshi hivyo ni bora kutangaza na uhamasishaji unahitajika. Ni lazima kuelewa kwamba kirusi aina ya Trojan kimeambatana na kirusi aina ya root kit ambacho ni kigumu kukiondoa katika kompyuta, hivyo kusababisha mtumiaji kufuta mpangilio na kuhifadhi upya. Hata hivyo makampuni ya usalama wa mipangilio ya kompyuta ambayo ni Norton, Kaspersky, Trend Micro, Microsoft, McAfee na wengine, husaidia kukiondoa kirusi aina rootkit bila kufuta mipangilio ya kompyuta yako. Kifaa hicho cha kutengeza virusi DNS Changer kimekuwa katika habari tangu Novemba 8, 2011, wakati botnet kubwa ya kusambaza virusi chini ya jina la kampuni ya Rove Digital, iliwekwa chini ya ulinzi na muungano wa msako ambao ni FBI pamoja na kundi la Kiestoni wahalifu. Na kutokea kukamatwa kwa wanaume sita. HABARI TOKA http://cheraboy.blogspot.com

Sunday, June 3, 2012

BIRTHDAY YA BONIFACE MASELE "BONTA THE GREAT"

BONTA THE GREAT

HISTORIA FUPI YA MAREHEMU (DAUDI KILUNGUMIKA LUFEGA) ALIYEKUWA MWENYEKITI WA MTAA WA BANK WILAYANI MAGU KUPITIA CHAMA CHA WANANCHI (CUF)

HISTORIA FUPI YA MAREHEMU DAUDI KILUNGUMIKA LUFEGA KUZALIWA Marehemu alizaliwa mnamo mwaka 1960 akiwa ni Mtoto wa Saba katika familia ya Mzee Lufega Masalu, Alizaliwa katika Kitongoji cha Benki eneo ambalo kwa sasa Cadirac Hotel. Katika Wilaya ya magu na Ndani ya Mkoa wa Mwanza. ELIMU Daud Kilungumika Lufega alipata Elimu yake ya msingi Katika Shule ya Msingi Nyalikungu mwaka 1972 na kuhitimu darasa la saba mwaka 1978. 1980 Alijiunga na Chuo cha Kilimo na Mifugo Ukiligulu Mwanza na kutunukiwa cheti cha Afisa Usimamizi Kilimo na Mifugo. UBATIZO: Daudi Kilungumika Lufega alikuwa ni Muumini wa Kanisa katoliki. Mwaka 1993 alibatizwa katika Parokia ya Magu. Mwaka 1993 alipata kipaimara katika Parokia ya Magu. NDOA Mwaka 1985 alimwoa Bi. Fausta Mayengela. KAZI/SHUGHULI Mwaka 1981 -1984 Afisa Mazao wa Mamlaka ya Pamba –Tanzania Kanda ya Manawa Ginnery. 1984-1994- Afisa Ukusanyaji mapato(Revenue Collector) HALMASHAURI YA Wilaya ya Magu. UONGOZI NA UZOEFU: Mwaka 1999-2009 Balozi wa nyumba kumi na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Benki. Kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwaka 2009-2012 Mwenyekiti wa Mtaa wa Benki katika Mamlaka ya Mji Mdogo wa Magu Mjini Kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi –CUF. Mwaka 2010-2012 Kada wa Chama na Mjumbe wa kamati ya Utendaji Wilaya –CUF. UGONJWA na MAUTI Daudi Kilungumika Lufega alianza kuugua Mwezi Marchi 2012 akisumbuliwa na matatizo ya Inni na Figo, Alibahatika kupata Matibabu katika Hospital ya Wilaya ya Magu pia alifakiwa kupata matibabu ya Tiba mbadala 1. Lakini kwa vile Andiko linasema “Kila nafsi itaonja mauti” 2. Na Kwa kuwa Mauti ni kitanda ambacho kila Mwanadamu atakilalia. 3. Mauti ni Mlango ambao kila Mwanadamu atauingia. 4. Mauti ni vazi ambalo kila Mwanadamu atalivaa. Na Tarehe 31-05-2012 Majira ya saa 12:30 asubuhi Daudi Kilungumika Lufega alifariki Dunia. Marehemu ameacha 1. Mjane 2. Watoto 9 wakiume 4 na Wakike (5)Watano, na 3. Wajukuu 4 SHUKRANI: Familia ya Marehemu inatoa Shukrani zake za dhati kwa Waganga na Wauguzi wote wa Hospital ya Wilaya ya Magu kwa juhudi zao kumhudumia Marehemu kipindi alipokuwa amelazwa Hospitalini hapo. Wataalam wa Tiba mbadala kwa Jitihada zao zote za Kutaka kuokoa Maisha yake japo haikuwezekana. Shukrani kwa Majirani, Ndugu, Jamaa, Marafiki, Vyama vya Siasa, Mamlaka ya Mji Mdogo Magu Mjini na wote walioshiriki kwa namna moja ama nyingine katika hali na Mali kufanikisha Mazishi na Maziko ya marehemu Mpendwa wetu. Marehemu alikuwa Mtu wa Watu, Mcheshi, Mtu huru na mtu mwenye maamuzi ya kweli. BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE, AMINA.