Wednesday, May 16, 2012

Mkuu mpya wa wilaya ya Magu Jaqueline Liana aapiswa na mkuu wa Mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo

Mkuu mpya wa wilaya ya Magu Jaqueline Liana akila kiapo mbele ya mkuu wa Mkoa wa Mwanza Evarist Ndikilo jana katika viwanja vya ofisi ya mkuu wa Mkoa.
Picha ya pamoja ya wakuu wa wapya wilaya walioapishwa na viongozi waalikwa.

0 Maoni:

Post a Comment